spacers spacers spacers spacers spacers spacers spacers spacers spacers spacers spacers
spacers home the model find a video Product spacer
spacer Help search Sitemap about
line

Tekinolojia

Ufupisho

    Technolojia sio vipuri tu. Ni chombo chenye nguvu ambacho wanaojifunza wanaweza kutumia katika kufanikisha  utaratibu wao wa kujifunza. Waalimu wanaweza kutumia nyenzo za tekinolojia  katika kutoa nafasi ya kujifunza na pia katika kuunda hali amboyo inaweza kukuza kiwango cha kujifunza (Switzer, Callahan, & Quinn, 1999). Tekinolojia inatoa njia kwa waalimu ya kulipima darasa pamoja na mazingira yake kwa upya. Mwalimu sio chemchem ya elimu maarifa yote tena. Tekinolojia inaweza kutoa chanzo cha elimu mbali na darasani au katika vitabu. Mwalimu anakuwa ni mfanikishaji tu katika kujifunza, akijumuisha na kuwezesha mbinu mbalimbali zinazoweza kuwaongoza wanaojifunza. Tekinolojia inafungua mlango kwa ulimwengu kwa kuruhusu wanojifunza kuzifikia maktaba mbalimbali, watu wengine wanojifunza, pamoja na wataalamu na vyango vingi vingine vya elimu wanyoitafuta.

    Kama ambavyo kitwa cha habari cha modeli ya “tekinolojia kama mwezesha wa elimu yenye kiwango cha juu” inavyomaaninsha, tekinolojia inanafanya kazi muhimu katika kufanikisha utoaji elimu ya kiwango cha juu.

    Tekinolojia inaweza kutumika katika kuanzisha ujizi katika mfumo wa uundaji wa tarifa (yaani information processing),na maelekezo. Kwa kutumia deitabezi na mitandao ya intaneti vinaweza uwa chanzo kukubwa cha taarifa kadiri mwanafunzi anapopata elimu na ujuzi uliotolewa kwa viwango vinavyohitajika.  Kwa kufnya hivyo wanfunzi wanaweza kunya mazoezi ya misingi ya demokrasi wakijihusisha katika shughuli zinazoendeshwa na technolojia (Swetzer et al., 1999,pp.12-13).

    Ili kuhakikisha kuwa tekinolojia inatumika katika katika kufanisha elimu bora, ni muhimu kuandaa waalimu wa huduma ya awali, wenye mbinu za kutumia vyanzo vya tekinolojia katika utoaji nafasi za mafunzo. timu ya wakufunzi ya chuo kikuu cha Northern Iowa (UNI) imeunda utaratibu wa ushindani wa tekinolojia kwa waalimu awali, na utendaji kazi kwa kiwango stahili ndani ya nyaraka kadhaa za taifa. Katika Yaraka hizi zenye viwango stahili vya taifa zinajumuisha “international Society for Technology in Education” (ISTE), “Recommended Foundations in Technology for All Teachers” ambazo baadaye  zilianza kutumiwa na baraza la “National Council fo Accreditation of Teacher Education (NCATE); ISTE’s, National Educational Technology Standards for Students”; na “ the American Association of School Librarians and Association for Educational Communications and Technology Information Literacy Standards for Student Learning”.

Lengo

    Ushindani huu una unasaidia malengo kadhaa:

    1. Unatoa mwogozo katika kuunda kozi ya elimu maalumu kwa walimu ambayo inajumuisha tekinolojia.
    2. Unatoa chombo cha kupima waalimu.
    3. Unasaidia katika kutoa ushauri nasahakwa waalimu wakati wote wa mafunzo yao.
    4. Unagundua maeneo yenye ushindani ambayo yanahitaji marekebisho.

Mapangilio

    UNI inaamini kuwa Ujuzi wa Tekinolojia kwa waalimu una vipengele  vitatu:

      1. Utumiaji wa msingi wa vifaa vya Tekinolojia na msamiati
      2. Vyanzo vya tekinolojia pamoja na chombo cha habari za elimu
      3. Vyanzo vya tekinolojia pamoja na chombo cha eneo la fasiri.

    Kipengele cha kwanza kimejumuishwa kwa kuwa pasipo ujuzi wa msingi wa kutendea kazi, tusingeweza kutumia tekinolojia katika kuandaa habari na katika kutatua matatizo. Kipengele cha pili kimejumuishwa kwa sababu vyombo vya tekinolojia ni muhimu  katika kusaidia elimu ya habari ( uwezo wa kukusanya, kuchambua, na mawasiliano ya habari) kwa sababu binafsi na sababu za kitaalamu na vilevile kwa malengo ya kufundishia. Kipengele cha chini kimejumuishwa kwa sababu maeneo fasiri kadhaa yana chombo chenye tekinolojia ya eneo husika  ambacho si muhimu kwa matumiza ya waalimu wote. Kwa mfano, ni muhimu kwamba waalimu wa Hisabati wajue namna ya kuingiza matumizi ya kalkuleta zenye kugrafu katika ufunddishaji.

    UNI inaamini ujuzi wa tekinolojia kwa waalimu utabainisha maeneo ushindani unaotakiwa na waalimu ili kufanikisha utumiaji wa vifaa vya tekinolojia katika kutoa nafasi za kujifunza na kuandaa mazingira yanayo boresha kujifunza. Kwa kutumia ngazi mbalimbali, waalimu wangundua nguvu pamoja na udhaifu wao uliko na kuweza kutatua maeneo yenye uzoefu kwa kuongeza ushindani.

Marejeo

        American Association of School Librarians and Association for Educational Communications and Technology. (1998). Information power: Building partnerships for learning. Chicago: American Library Association.

        International Society for Technology in Education. (1998). National educational technology standards: Guiding the development of new learning environments for today's classrooms [On-line]. Available: http://cnets.iste.org/ [1999, May 25]

        International Society for Technology in Education. (1998). Recommended foundations in technology for all teachers [On-line]. Available: http://www.iste.org/standards/ncate/index.html [1999, September 21]

       Krueger, K., Hansen, L., Smaldino, S. (2000, April). Preservice teacher technology competencies.  Tech Trends 44 (3) 47-50.

        Switzer, T. J., Callahan, W. P., & Quinn, L. (1999, March). Technology as facilitator of quality education: An unfinished model. Paper presented at Society for Information Technology and Teacher Education, San Antonio, TX.